Recent content by Nzwangendaba

  1. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Serikali ikiendelea kuwachekea Wafanyabiashara Wanaogoma, Hali inaweza geuka kuwa kama Kenya. Fanyeni Oparesheni 1 tuu ya Kusafisha Wote

    Nchi inaendeshwa kwa sheria na taratibu na si mabavu kama unavyotaka wewe. Subiri nawe uje uwe rais uendeshe nchi pasipo kufuata sheria na masikizano. Uje utumia mabavu pekee
  2. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Kiarabu ni moja ya "lugha rasmi" nchini?

    Ni sahihi. Lugha ya Kiarabu ni moja ya Lugha rasmi hapa kwetu kwa sababu ipo katika mitaala rasmi ya nchi. Ni moja ya somo / Lugha ambayo hutumika mashuleni kwa wanafunzi ku-specialize kama mchepuo na kuwa na wataalam na wazungumzaji ndani ya nchi. So kiarabu, Kifaransa, Kichina, na Kiingereza...
  3. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Bidhaa kutoka Zanzibar kutolipishwa kodi, Serikali kuunganisha mifumo ya kodi Bara na Zanzibar

    Na wakifanya hivyo, mnufaika atakuwa Znz coz wao wanaunafuu mkubwa wa kodi bandarini. Halafu bandari ya mapato yote ni yao hakuna DP World kule. Sasa mizigo mingi itashukia zenji. Huku para sasa patakuwa ni geti tu la watu kutolea mzigo wao. Chao chao, chetu chao
  4. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Bidhaa kutoka Zanzibar kutolipishwa kodi, Serikali kuunganisha mifumo ya kodi Bara na Zanzibar

    Na kuanzia hapo ndio bidhaa za Zenji zitakapopaa bei zake. Kwa sasa wenzetu bidhaa zao ni nafuu sn ukilinganisha na zile za bara hasa vifaa vya electronics kam Tv, Computers n.k. Wazee wa kazi wakishatia maguu, sidhan kama hali itabakia kama sasa
  5. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Ufahamu; Ndege aliyotumia Rais kwenda SA kwenye uapisho wa Ramaphosa ,Boeing 787 inabeba abiria wangapi?

    Na vipi kama angeenda na hao abiria 230, unajua gharama ya comvoy hiyo yote kuwalipa ingekuwaje? Je umejiuliza pia capacity ya magari yao ni watu wangapi na huwa wanakaa wangapi wanapokuwa kwenye misafara?
  6. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Kiarabu ni moja ya "lugha rasmi" nchini?

    Kujua ama kutumia Lugha ni dhahama?
  7. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Kama kungekuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni waliokula hela za Sukari Wangezitapika

    Unadhani ikiuzwa, utapaa mgao wako halali sawa na waliokule juu? Mgao wako ukiwa pesa ya kujenga ghorofa, utapewa laki ukajenge msonge wa tope kijijin kwenu.
  8. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mwigulu adai wananchi ndio walioshauri tuweke tozo

    Na je kama walisema wanazitaka mkaweka, basi tukisema hatuzitakitazitoa kesho?
  9. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mwigulu adai wananchi ndio walioshauri tuweke tozo

    Hao wananchi waliyasema hayo kupitia kura ya maoni au utaatibu gani ulitumika kupata hayo maoni ya watanzania? Viongozi acheni kutulisha maneno.
  10. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

    Kwani wewe katika maisha yako umewahi kumtaja nani kwa ufisadi? Kwa maelezo tu hayo aliyosema wewe unaweza simama in mahali popote hata mtaani kwako tu ukayasema mbele za watu? Je umesahau orodha ya mafisadi aliowataja Lissu pale mwembe yanga akiwemo PM wa zamani? Kwa sasa hivi hakuna mpinzani...
  11. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania Ziara ya watoto wa mjini yamnyamazisha RC mbabe

    Je wewe uliyebaini hiyo code na kumjua aliyezungumzwa, umeweza hata kumtaja?
  12. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania David Kafulila alitetemesha Bunge na kupokelewa kifalme

    Teh teh... Kupiga makofi kwa hisia kali!!? Duh.. hiyo kiboko. Umejua kuwasemea wabunge. Yaani umekuwa mbunge wa wabunge [emoji16]
  13. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania David Kafulila alitetemesha Bunge na kupokelewa kifalme

    Hivi kuna vyuo vinatoa kozi za uchawa? Nahisi we jamaa una PHD kwenye hiyo kozi. Hizi sifa ungekuwa wazitoa kumtukuza Mola wako, basi pepo kwako ingekuwa wazi sana. Unaijua sana kazi yako ya kusifu na kupamba wanadamu. Wanakulipa kiasi gani?
  14. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania USAHIHI: Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali amepangiwa Majukumu mengine na siyo kutumbuliwa. Anaweza kuwa na Majukumu makubwa kuliko ya Awali

    Wewe mwenyewe pia Kiswahili hapo kimekuchenga. Umeshindwa kubaini ngeli sahihi iliyotumika. Ukisema mtu "amepangiwa" ina maana hilo tukio limeshatokea tayari. Taarifa haisemi kuwa "atapangiwa majukumu mengine". Ila wewe unaaminisha watu wasubiri kuwa atapangiwa tena huenda pazuri zaidi. Hiyo...
  15. Nzwangendaba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu

    Kwa nini ameamua kusema hivyo? Mbona sie tunampenda mama? Ameongea hayo yake ya moyoni au amemuwakilisha nani?
Back
Top Bottom