Recent content by Nzumbie

  1. Nzumbie

    Hivi serikali haisikii changamoto za walimu kwenye sekta hiyo?

    Bahati nzuri, watoto wengi huanza shule wakiwa wamevuka umri wa kujinyea labda itokee kitoto kinaumwa. Na ikitokea hivyo mzazi hushirikishwa, kazi ya ualimu sio laana ni kazi za kitume. Mitume wote wa Mungu walikuwa ni walimu!
  2. Nzumbie

    Hivi serikali haisikii changamoto za walimu kwenye sekta hiyo?

    Hahaha! Mwalimu ameumbwa na huruma sana. Huwezi kufundisha, mtoto mwingine yupo uchi yaani hana nguo
  3. Nzumbie

    Qatar na Dubai ndio nchi bora kufanya kazi Uarabuni

    We! Uliona wapi mtu akulipe pesa ndio umpe kazi, wewe ni tapeli. Tapeli mkubwa, ulishawahi kunipa Nambari yako, ukaomba hela. Milioni 3,700,000
  4. Nzumbie

    Qatar na Dubai ndio nchi bora kufanya kazi Uarabuni

    Wewe ni tapeli unajifanya ajenti ulipwe milioni 3,700,000 za nini. Mtu anafuta kazi hapo bora aende mwenyewe kwa pesa hiyo! Mother f....
  5. Nzumbie

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Wakulungwa sasa mmedhamiria kuonana kabisa. Usalama upo huko
  6. Nzumbie

    Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

    Siku moja nilidownload App ya CRDB nilijua ni mambo ya Equity bank, unaingia bure, unatoka bure. Due! Kumbe ukiingia tu wanakata JERO sijui. Equity App ni bure. Muda wote unachungulia salio lako bando lako tu
  7. Nzumbie

    Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

    Equity kama upo Darisalama ni bank bora sana. Lakini mkoani huwezi kuimudu! Equity nimetumia sana ni bank nzuri hakuna makato ya hovyo kama CRDB. CRDB kila mwezi hunitumia statement Mara maintenance 300, nini fees 1500, kitu cha mtume 2000, ni wizi sana
  8. Nzumbie

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Mwongozo wanasema sio lazima ujue Kifaransa. Unatakiwa ujue kusoma na kuandika lugha mama (native language)
  9. Nzumbie

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Nimesoma mwongozo wao very interested! Labda niambie visa bei gani, nauli ya ndege bei gani na hotel za kufikia kwa siku bei gani huko Paris, assimilation method?.
  10. Nzumbie

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Mimi ni mtu wa mazoezi ya gym, nimejazia si hapa!. Sasa naipataje visa mtu wangu, bora kufia Ulaya tu
  11. Nzumbie

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Hahaha hahaha! Unapelekwa vita unafia huko
  12. Nzumbie

    COMPUTER HARD DISK

    Computer hard disk ni nzima GB 1000 Bei 80,000 Ipo mikocheni, Darisalama Nambari 0658380898 0683380898
  13. Nzumbie

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Nafikiri ni vizuri kwenda visit visa lako tu, maana ukiwa kule utapata kazi aghalau ipo maslahi kuliko kusafirishwa na urgent. Urgent sio wazuri sana, watz sio wengi lakini sababu kubwa ni uoga na sheria pia inabana sababu hurusiwi kwenda kufanya kazi nje ya nchi.
  14. Nzumbie

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Nimependa huu mjadala. Mimi pia mmoja wa watafuta ajira hasa Dubai. Dubai kwa sababu girlfriend yupo huko. Nimeanza kutafuta connection 2019. Agent wengi Bongo nishaongea nao. Hela watataja ni kubwa sana 1000 USD. Kuna mmoja nilimpata akapunguza ikawa 800 USD. Nilikubali akaanza process matokeo...
Back
Top Bottom