Recent content by nzobeyape

  1. N

    CHADEMA ilifoji sahihi ya msajili wa vyama vya siasa?

    Naona kama nakuelewa japo si sana maana unamlaumu Tendwa na unamlaumu mbowe pia.
  2. N

    Kifo cha CCM kimetimia

    Kufuatia matokeo ya udiwan yanayoendelea kutoa sasa hivi inaonesha wazi kuwa CCM sasa inakufa kwa kasi. Hii inadhihishwa na jinsi gap kubwa la kura linavyojioneshapale CHADEMA iliposhinda. Sijajua kama tukio la mabomu Arusha kuna mkono wa CCM lakini kama ndiyo hivyo basi hata CCM yenyewe itakuwa...
Back
Top Bottom