Naombeni msaada kwa anayefahamu namna ya ku apply/kupata kazi Halliburton.Nimesikia jumamosi watakuwa UDSM kwa Interview ya recent graduate na Finalists kwa aliye na info zaidi atusaidie.
Huwa yanakuwa maswali 50 ambayo unapaswa kuyafanya kwa dk 12 tuu.Baada ya hapo ata mark kwa kalamu nyekundu ni wapi kila mtu ameishia halafu mtapewa unlimited time hadi mmalizie maswali ambayo hamjafanya.Maswali yenyewe ni general qns ila mostly hesabu plus mengine ya kitechnical zaidi.
Jamani tatizo lenyewe ni appendix ambayo inabidi kufanyiwa small operation kabla haijapasukia tumboni.Kwa sasa kuna dawa ambazo nimepewa nizitumie kwa siku 5 baada ya hapo ndo swala la operation litafuata.Wanadai kufanya operation kwa mjamzito ni hatari!
Thnx mwathu.
Huyo Dr hana utaalamu wa utoaji japo pia alinielekeza kwa dr mwingine ila dhumuni langu lakuomba ushauri JF ni kwa sababu nina Imani wapo watu wanaojua na wenye utaalamu ambao pia wanaweza kunisaidia.
Hata hivo nimeolewa na sina tatizo na ndoa yangu siwezi kuamua tu kutoa mimba...
Hi to all JF Members.
Nina Mimba ya wiki 16.Ila kutokana na hali yangu kiafya kwa sasa(Kuugua sana) daktari wangu ananishauri kuwa niitoe la sivyo naweza kufa mimi endapo tatizo litaongezeka.Swali ni kuwa Je ni salama kutoa mimba ya wiki 16???Na ni wapi sehemu inayoaminika(Hospital au sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.