Recent content by Nziiri sr

  1. N

    Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

    Mlipompiga risasi mlikuwa hamjui uhuru wa kikatiba?
  2. N

    Nani anamdanganya Rais Samia kuwa kati ya Watanzania mil 65, ni milioni 2 tu wanaolipa kodi?

    Yeye ni mmoja wa hao milini 63 ambao hawalipi kodi sasa anashangaa nini?
  3. N

    Mahakama yakataa maombi ya Serikali, Dhamana ya Boni Yai sasa kutolewa Oktoba 7, 2024

    Labda lengo asiweze kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, asije akapata udiwani eventually umeya.
  4. N

    Ajali zinaepukika tukiacha siasa

    Unatafuta kulogwa 🤣🤣🤣
  5. N

    Mh. Rais wetu kwanini shule za maeneo ya mjini Arusha ni wanawake? Mama mpumzishe Mchengerwa

    Mada inahusu waalimu sio wakulima. Kwa nini hao vibosile wasiache wake zao wakalime huko vijijini?
  6. N

    Muslim University of Moro: Centre of Excellence!

    🤣🤣🤣🤣🤣 Hata vyuo vya kule Iran, Indonesia etc navyo ni hivo hivo?
  7. N

    Tetesi: Mwabukusi kujumuishwa kwenye jopo la Wanasheria kesi kampuni ya Tigo Mahakamani London

    Sababu mahakama za bongo huwa zinafuata 'maelekezo'
  8. N

    Rais Samia uliomba ripoti ya "haraka" kuhusu utekaji nchini! Haraka ni muda gani?

    Hivi alishapewa taarifa ya uchunguzi wa miamala iliyofanyika benki kuu kati ya January na March 21 kama alivyoagiza?
  9. N

    Kutokufanikiwa kwa maandamano ya CHADEMA: Uhalisia wa maandamano yasiyo na nguvu kwa maslahi ya wananchi

    Mwanamke gani huna aibu kiasi hiki! Au hujui taifa limepoteza rasilimali kubwa kiasi gani bil a sababu kuvunja maamdamano ambayo ni haki ya kikatiba?
  10. N

    Vita Ukanda wa Gaza: Msimamo wa Tanzania wakati wa Rais Nyerere, Magufuli na sasa

    Hapa umekengeuka. Israel iliyoandikwa kwenye hicho kitabu sio hii Israel inayofanya mauaji makubwa kwa Wapalestina.
  11. N

    Wajumbe wa Halmashauri kuu ya KKKT Dayosisi ya Kaskazini, someni hapa!

    Weka rejea (reference). Navojua katoliki tuna: ubatizo➜ komunio➜ kipaimara➜⁠ ndoa/daraja➜ kitubio➜ mpako wa wagonjwa. Sakramenti saba hizo, tatu za mwanzo zinatolewa kwa wote kwa mfuatano huo. Lutheran sijui sana.
Back
Top Bottom