Basi huyo jamaa anataka ukosane na wazazi wako kwani walijua zima tu kwa makubaliano leo wanaouhitaji ili wafuate utaratibu ifuatwe wanakuzuia!jaribu kumkumbusha na ukiona hajielewi huyo sio muoaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hilo linaonekana wamekosea toka mwanzo walipo mruhusu kwenda kujifungulia huko kwa mkwe,sasa wanataka wasawazishe kosa maana watu wengine wamezoea kuoa uzeeni.ushauri kwa hiyo mke wazazi wako wanataka ndoa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.