Recent content by nzigirwa jr

  1. nzigirwa jr

    Naombeni ushauri nipo njia panda

    Basi huyo jamaa anataka ukosane na wazazi wako kwani walijua zima tu kwa makubaliano leo wanaouhitaji ili wafuate utaratibu ifuatwe wanakuzuia!jaribu kumkumbusha na ukiona hajielewi huyo sio muoaji. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. nzigirwa jr

    Naombeni ushauri nipo njia panda

    Na hilo linaonekana wamekosea toka mwanzo walipo mruhusu kwenda kujifungulia huko kwa mkwe,sasa wanataka wasawazishe kosa maana watu wengine wamezoea kuoa uzeeni.ushauri kwa hiyo mke wazazi wako wanataka ndoa tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. nzigirwa jr

    Naombeni ushauri nipo njia panda

    Ukifuata utaratibu wa imani yangu bado hujawa mke na unatakiwa hurudi nyumbani ila kimila wewe ni mke. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom