Recent content by Nz1

  1. N

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Mawaziri wamekosa kabisa ubunifu

    Naomba kufahamu, hivi kiwandani huwa wanatumia sukari sawa(aina) kama inayotumiwa majumbani? Niliwahi kusikia kuhusu sukari za viwandani. Naomba kuongeza ufahamu niwe ktk nafasi nzuri ya kuchangia.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Mawaziri wamekosa kabisa ubunifu

    Kuna sheria inayombana mfanyabiashara u aijua? Unajua inafanya kazi unapokuwa na mzigo wa kiasi au shilingi ngapi? Usiongozwe na hisia tafuta uhalisia kwanza.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Tulidanganywa kutakuwa na mabasi yanayoenda Kasi

    Be greatful rafiki! Nilidhani ungeanza na kushukuru kwa kuwa umeyapanda na yamekufikisha eneo ulilokuwa unakwenda. Sitaki kuamini kuwa ulikuwa unafanya utalii kwa kuwa u.epanda zaidi ya mara 10! Hivi umeangalia kwenye dash board na kuona ukomo wake wa spidi? Umejiuliza kwa nini hayaendi spidi...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nahitaji marafiki

    Oh! Huwa una marafiki kwa vigezo vya jinsia? Anyways mimi ni Mwanaume/Gentleman.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nahitaji marafiki

    Holla,Mambos? Naitwa Sean, miaka 30, mfanyakazi(muajiriwa). Napenda kusafiri, kuogelea, muziki, kuwa na furaha na vingine vingi(vizuri). Kama unapenda kuwa rafiki, kubadikishana uzoefu na vingine vingi(vizuri) tafadhali drope me an sms. 0712223881. Asante.
Back
Top Bottom