Mwamba Venancio Mondlane anayeongoza inchi kutoka mafichoni amesema kesho maandamano yanaendele kama kawaida,na Rais wamesusia kwenda kuangalia mechi ya Mamba yaani Timu ya Taifa ya Mozambique dhidi ya Mali huku wakisema Maandamano au kuikomboa inchi yao ni muhimu kwanza kuliko mpira
Wakati wenzetu wa Mozambique kwa kupitia Rais wao mtarajiwa Venancio mondlane wakipiga hesabu baada ya miaka 4 uchumi wao kupanda baada ya kuuangusha utawala mbovo wa Frelimo sisi tunafikilia misada
Kinachofurahisha binadamu ni wasaliti sana hakuna hata mtu mmoja anayeitetea Frelimo wala hata kuvaa nembo zake kipindi hiki mitaani,huku ofisi zake zikichomwa kila siku,kweli kifo kikikufikia hata marafiki zako hutawaona ili mradi ufe nao,utakufa peke yako
Yaani
Yaani kwa ninayoyaona huku kwa Tanzania bado sana,yaani hata wa kusimama kuitete Frelimo hakuna zaidi ya Polisi wanaotumwa kwenda kutawanya raia huku chuki ikizidi kupamba moto kila anapouwawa raia dhidi ya selikali
Mfano kunatukio nimeliona katika mji wa Nampula ni wakorofi kama mbeya...
Yaani ninavyoona nguvu ya Umma ya watu iliyoko huku Viongozi wa chama tawala wataanza kukimbia mmoja baada ya mwingine kwa ajili ya kusalimisha maisha yao,hapo Huyu Mpinzani atajiludia kiulaini kuja kuunda selikali yake ya mpito
Tatizo la Tanzania CCM inaongoza maiti,ukitaka kujua watu wanajitambua ni kama huku Mozambique watu wanaimba wanakwambia hatuwezi kuwa wapangaji ndani ya inchi yetu
Nimeamini nguvu ya uma wakiamua hakuna lisiloshindikana
Tatizo wanapenda sana rushwa na wavivu.kuna sehemu ndani ya Mozambique inatumika shilingi ya Tanzania na wanaongea kiswahili na kalibu raia wa maeneo husika ni wa makabila tofautitofauti kutoka Tanzania
Yaani unakutana na wachimbaji madini, wanunuzi wa dhahabu mama ntilie mpaka...
Yaani mi
Yaani kila mwananchi kawageuka,maana hii inchi maisha ni magumu sana lakini Viongozi wanaishi kama wako peponi,huduma ya Afya mbaya,Elimu ndiyo usisema kama siyo mwanachama wa Frelimo huwezi kupata kazi labda uhonge
Naona wanavuna walichokipanda kila mtu hawapende ingawa ni ngumu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.