Katika comment za hovyo kutolea mwaka huu hii Ni namba moja. Huyo diwani wa ccm Ni chadema? Hizo Kodi za miamala zinaangalia chama? Kweli kichwa hicho Ni fuvu lililosafishwa kwa sabini na jik ili isibaki harufu hata ya ubongo. P..bafu
Wewe ndio umesahau. JPM alioeleka faini wakati wananchi walishamlipia, all in all Msigwa kasema ukweli mtupu bila kumung'unya maneno kwa mifano hai. Shujaa wa aliyepitwa na wakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.