Wakuu ni matumaini yangu kuwa hhamjambo!Naomba kama kuna afisa au bwana Afya aje inbox nimpe dili kuna kampuni moja kubwa tu hapa mjini Dar inafanya uchafuzi wa mazingira kwa kutirisha kinyesi cha binadamu porini karibu na makazi ya watu uki waambia wanafanya dharau ndhani ni kiburi cha...
Wakuu habari za j'tatu!
Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa hatua za za miguu upana 19 urefu 20 bei ni mil 5 kipo Barbara ya kwenda madale kwa kawawa kilomita 1 kutoka kiwanda cha saruji cha twiga-wazo hill mawasil 0765544795 karibuni
Mkuu kuanzia kwa Mjumbe mpaka seriali za mitaa no mashahidi kuw ni Mali Yangu .kuhusu mashimo hapa no tambalale no vizuri ukafika ukajionea jinsi palivyo wenye pesa wanashusha mijengo no balaa
Mkuu unapata lakini kinakuwa kidogo unajua hapa baada ya mchimbo kuisha wale wachimbaji wadogo Dogo waligawana kila mmoja akajimilikisha eneo alilokuwa anachimba hi yo ukitaka kikubwa unanunua tuviwanja kadhaa Keisha unaunganisha lakini hiking ni cha pamoja si cha kuunga
Mkuu meko ni hapa ambako kulikuwa na machimbo ya mawe machimbo yalipoisha 2008 wananchi wakafanya makazi yasiyo rasmi lakini juzi mstahiki meya wa halimashauri ya wilaya ya k'ndoni amemaliza utata wote kwa kuruhusu watu waendelee name ujenzi wa makazi kwani kabla eneo hili lilikuwa Mali ya...
Mkuu meko ni hapa ambako kulikuwa na machimbo ya mawe machimbo yalipoisha 2008 wananchi wakafanya makazi yasiyo rasmi lakini juzi mstahiki meya wa halimashauri ya wilaya ya k'ndoni amemaliza utata wote kwa kuruhusu watu waendelee name ujenzi wa makazi kwani kabla eneo hill lilikuwa Mali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.