Ni vyema jambo hili liangaliwe kwa umakini sana. CDM wasikurupuke kutoa maamuzi. Niliipenda sana kauli ya mheshimiwa Mbowe. Tuwape muda wakae kwanza. Vilevile hata CCM nao waangalie, kama uchaguzi ukirudiwa alafu wakashindwa tena, itakuwa pigo kwao. Watazidi kupotea ktk siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.