angekuwa anaaminika angekwamisha lowasa asipokelewe, sio muda wa kuwajadili ni muda kuweka mikakati ya utekelezaji ya kilichoko ktk ilani za vyama vyenu ili sisi wananchi tuchague na sio kukalia agenda moja ya ufisadi iliyowashinda kuiondoa toka enzi za mwl hadi leo...Watanzania tunaviona vyama...
hivi mtu unatoa uzi mrefu alafu umeujaza pumba kiasi hk, kifo cha mtikila ulikuwa unataka polisi waende kwa waganga ndo watoe taarifa? hizi ni imani za watu wasio na uelewa ht kidogo na elimu izidi kutolewa maana maneno yetu yako kishaabiki sio ukweli tena, ebu kama jamiiforum inavojitanabaisha...
uhuru Kenyata hadi alimuita Mungiki sembuse hii, siasa sio tuhuma ni hoja na sera na namna utakavotekeleza hofu ya nn kwa CCM kama wanajua walifanya kazi kwa ajili ya wananchi?
nilitegemea hizo nguvu za propaganda wangekuwa nazo wapinzani lakini ni kinyume.... huhtaji degree kujua ombwe la...
Hivi ni mara ya kwanza kuwepo na utamaduni wa midahalo mbona wanasiasa wanakuwa wasahaurifu? mh aliyemaliza muda wake aliukataa ht hvo mgombea wenu hatoweza kumtoa jasho ENL
Hivi wasanii wasiojua masuala muhimu ya kitaifa wanaweza kubadilisha fikra za watu eti wameondoka kwa mtaji gani wa ushawishi walionao? mtu wa kuhamishwa na wasanii wa hulka ya uliowataja hawapo ktk jamii ya leo.
Kumtaja ktk list of shame sio kwamba ndo mmiliki wa richmond, alitajwa kama part of government, kwa nn tung'ang"anie siasa za kuchafuana kana kwamba ilani za vyama hakuna? siasa za namna hii hazijengi bali zinalipasua taifa kwani nani asiyejua kuhusu ufiadi ktk nchi hii au tunang'ang'ania...
sheria ipi ina ruhusu kumuacha mtu amalize pesa ndo umpeleke mahakamani?, nashindwa kuelewa uhalali wa vyombo vya kisheria kuhusu ufisadi tz au ndo maana wanataka walete chombo kipya vilivyopo havitoshi?
lazima tujiulize why huyo mmiliki hakutajwa miaka 8 imepita au sasa hv ndo muda mwafaka wa kumtaja na zaidi ufisadi wa aina moja unabebwa tunasahau hata wa juzi serikali kukataa pesa??? inashangaza sana.
ni wapi tunalipeleka taifa letu??? hcho nacho kimekuwa kigezo???? kwan speech ni lazima atoe kwa kiingereza??? binafsi nahtaji kumwona rais atakae utangaza utamaduni wetu ambao ni pamoja na kukitangaza kiswahili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.