Hii kitu huwa mbaya sana sijui kwanini viongozi hawajifunzi na kibaya wanadhani watadumu maisha yao yote kwenye hizo nyazifa. Wengi sana saizi wanaishi kwa majuto mazito, stress na wasiwasi wa visasi.
Huyo kilaza wenu hana anachokijua zaidi ya wizi na kuumiza raia, siku yaja atatamani mbingu ishuke...... Kaharibu sana hii nchi ndio maana majority wamemkataa kabaki na nyie machawa tu.
Kipande cha Tabora-Kigoma
kipo financed na AfDB na wana mwakilishi wao so pesa ya mkandarasi inalipwa kwa progress hata huyu Muuaji anenda kuzindua kwa ajili ya kisiasa tu maana mradi mpaka sasa progress yake ni more than 12%
Stronger together, hii mbungi ya CDM inawalaza vilaza wa CCM na viatu vyao na wameishiwa mbinu kabisa imebaki kutumia polisi, mahakama, bunge na machawa ambao kila mtu now anawapuuza.
Huyu muuaji amekataliwa kila mahala hata kwenye hizo hafla anazoshiriki kama mgeni rasmi audience unaona kabisa hawampi ushirikiano ni kama anawapotezea muda tu..........anakaza uso kwa uongo kuhadaa watu huku anafahamu kabisa hana ushawishi wowote na anafanya vile kwa maslahi yao tu.
Hizo trillion kadhaa zilizopigwa na wahuni wa CCM wanaojiita viongozi baada ya kuambiwa wale kwa urefu wa kamba unajua zinge cover km ngapi za barabara ambazo kote ni mashimo tu gentleman?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.