Huyu blood thirsty vampire woman lazima atawajibishwa tu, hata alete wapuuzi kiasi gani kufanya propaganda but one day justice will prevail. Hatutakaa kimya kwenye haya mauaji.
Unajichanganya mwenyewe......hapo wame report general situation mida ya asubuhi unadhani kama wakipost video za muda huu mfano hali ilivyo baadhi ya maeneo Mwanza bado utasema hivi?
Kila upande unaogopa upande mwingine so hii vita haitaisha leo wala kesho.....itazidi kuivuruga nchi kiuchumi na ndipo ushindi wa wananchi utakapoonekana maana serikali itashindwa kuendesha nchi na watu wengi watajitokeza kuipinga hii serikali haramu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.