Recent content by Nyasi-Man

  1. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Huyu Sokwe atakufa vibaya sana zaidi hata ya sokwe halisia.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Ok poa.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kununua spare parts kutoka Japan

    Mkuu kama bado haujapata ile pressure sensor.......Jamaa yangu kaniambia amezileta na picha ndio hii so let me know
  4. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Makala ya kiuchunguzi ya CNN iliyotengenezwa na Larry Madowo kuhusu mauaji ya Watanzania Oktoba 29, yashinda tuzo huko Atlanta, GA, Marekani.

    Imagine na hakuna accountability yeyote na bado huyu kiazi anakebehi Watanganyika.....kiukweli hatakiwi kuishi kabisa huyu muuaji.
  5. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Makala ya kiuchunguzi ya CNN iliyotengenezwa na Larry Madowo kuhusu mauaji ya Watanzania Oktoba 29, yashinda tuzo huko Atlanta, GA, Marekani.

    Huyu "The Butcher" mwache tu aendelee kukaza fuvu lililojaa kinyesi ila timing yake inakuja.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kuhudhuria Mkutano wa 46 WA SADC wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali huko Durban, Afrika Kusini, Agosti 17 2026

    Kaisha hasa unafikiri kuua watu ni jambo jepesi..... Na bado
  7. N

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Hawa jamaa wangeachana tu na huu upumbavu wao, maana ni aibu tupu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Hii kitu huwa mbaya sana sijui kwanini viongozi hawajifunzi na kibaya wanadhani watadumu maisha yao yote kwenye hizo nyazifa. Wengi sana saizi wanaishi kwa majuto mazito, stress na wasiwasi wa visasi.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Huyo kilaza wenu hana anachokijua zaidi ya wizi na kuumiza raia, siku yaja atatamani mbingu ishuke...... Kaharibu sana hii nchi ndio maana majority wamemkataa kabaki na nyie machawa tu.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Kipande cha Tabora-Kigoma kipo financed na AfDB na wana mwakilishi wao so pesa ya mkandarasi inalipwa kwa progress hata huyu Muuaji anenda kuzindua kwa ajili ya kisiasa tu maana mradi mpaka sasa progress yake ni more than 12%
  11. N

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    This is the way forward...... Hata sasa wengi wao wana mashaka makubwa na 2030 maana haitakuwa rahisi kama wataendelea na upumbavu wao
  12. N

    JamiiForums Tanzania John Heche: Mashambulizi dhidi yangu ni kututoa kwenye mjadala wa Kifo cha Utata cha Dereva Wangu Suez

    Stronger together, tuendelee ku-focus na mambo muhimu kwa kuzidisha pressure kwa hawa maharamia.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Propaganda zote za CCM kwa CHADEMA zimefeli, tuwashauri mbinu mpya na za kisasa

    Stronger together, hii mbungi ya CDM inawalaza vilaza wa CCM na viatu vyao na wameishiwa mbinu kabisa imebaki kutumia polisi, mahakama, bunge na machawa ambao kila mtu now anawapuuza.
Back
Top Bottom