Recent content by Nyasi-Man

  1. N

    Happy birthday Tundu Antipass Lissu. Mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya Tanganyika na Tanzania

    Happy birthday mpenda haki, Mungu azidi kumpa afya njema, one day justice will prevail na Watanganyika wataishi kwa misingi ya sheria na haki.
  2. N

    Unawaomba radhi wageni kwa kuwakatia intaneti kwa siku 6 halafu wazalendo uliowaua hata majina yao unajifanya hauyajui!

    Ana ugonjwa wa akili huyu taahira.......anaharibu sana future ya nchi muuaji huyu. Bila uwajibikaji sidhani kama ataeleweka.
  3. N

    PostGE2025 DW yathibitisha aina ya Risasi zilizotumika kwenye mauaji ya Oktoba 29, 2025 zilikuwa ni za Polisi na Jeshi la Tanzania

    Huyu blood thirsty vampire woman lazima atawajibishwa tu, hata alete wapuuzi kiasi gani kufanya propaganda but one day justice will prevail. Hatutakaa kimya kwenye haya mauaji.
  4. N

    PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Unajichanganya mwenyewe......hapo wame report general situation mida ya asubuhi unadhani kama wakipost video za muda huu mfano hali ilivyo baadhi ya maeneo Mwanza bado utasema hivi?
  5. N

    PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Kila upande unaogopa upande mwingine so hii vita haitaisha leo wala kesho.....itazidi kuivuruga nchi kiuchumi na ndipo ushindi wa wananchi utakapoonekana maana serikali itashindwa kuendesha nchi na watu wengi watajitokeza kuipinga hii serikali haramu
  6. N

    PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Sana na ina destabilize confidence ya investors kuwekeza lakini pia mzunguko wa kiuchumi na maisha ya kawaida.....hii regime imefitinika kwelikweli.
  7. N

    PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Na mbungi litaendelea tena hapo kesho, hii hofu kwa watawala bado ni ushindi kwetu na inaongeza shinikizo katika muelekeo wa Tanzania mpya
  8. N

    PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Raia bado wanasoma mchezo wa hali halisi ila mpaka mida hii mitaa inaonekana kuwa ni myeupe kabisa. Tupe update za ulipo.
Back
Top Bottom