Recent content by Nyasi-Man

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ukijaza Undugu/Uzanzibari/Utanganyika kwenye Uongozi ndiyo yamkuta Mama Samia! 2026 eti una pongeza Urusi kwa ukombozi wa Africa!!!

    Huyu tahira anatia kinyaa sana...........ameharibu vibaya sana future ya Tanganyika
  2. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Kwa matokeo yale Tume ya Uchaguzi ndiyo ilipiga kura sio Wananchi

    Mzee amenyooka mno na hachoshi kumsikiliza.......ukweli ndio huo, hakuna kupepesa macho. Mungu aendelee kumjalia afya njema.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Tundu Antipass Lissu. Mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya Tanganyika na Tanzania

    Mh TL ni mwamba kwelikweli, CCM wote wanamuogopa ile mbaya
  4. N

    JamiiForums Tanzania Happy birthday Tundu Antipass Lissu. Mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya Tanganyika na Tanzania

    Happy birthday mpenda haki, Mungu azidi kumpa afya njema, one day justice will prevail na Watanganyika wataishi kwa misingi ya sheria na haki.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Unawaomba radhi wageni kwa kuwakatia intaneti kwa siku 6 halafu wazalendo uliowaua hata majina yao unajifanya hauyajui!

    Ana ugonjwa wa akili huyu taahira.......anaharibu sana future ya nchi muuaji huyu. Bila uwajibikaji sidhani kama ataeleweka.
  6. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 DW yathibitisha aina ya Risasi zilizotumika kwenye mauaji ya Oktoba 29, 2025 zilikuwa ni za Polisi na Jeshi la Tanzania

    Huyu blood thirsty vampire woman lazima atawajibishwa tu, hata alete wapuuzi kiasi gani kufanya propaganda but one day justice will prevail. Hatutakaa kimya kwenye haya mauaji.
  7. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Unajichanganya mwenyewe......hapo wame report general situation mida ya asubuhi unadhani kama wakipost video za muda huu mfano hali ilivyo baadhi ya maeneo Mwanza bado utasema hivi?
  8. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Kila upande unaogopa upande mwingine so hii vita haitaisha leo wala kesho.....itazidi kuivuruga nchi kiuchumi na ndipo ushindi wa wananchi utakapoonekana maana serikali itashindwa kuendesha nchi na watu wengi watajitokeza kuipinga hii serikali haramu
  9. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Sana na ina destabilize confidence ya investors kuwekeza lakini pia mzunguko wa kiuchumi na maisha ya kawaida.....hii regime imefitinika kwelikweli.
  10. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

    Maandamano huwa yanaanza kuchanganya mida ya mchana
Back
Top Bottom