Recent content by Nyasi-Man

  1. N

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Hawa jamaa wangeachana tu na huu upumbavu wao, maana ni aibu tupu
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Hii kitu huwa mbaya sana sijui kwanini viongozi hawajifunzi na kibaya wanadhani watadumu maisha yao yote kwenye hizo nyazifa. Wengi sana saizi wanaishi kwa majuto mazito, stress na wasiwasi wa visasi.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Huyo kilaza wenu hana anachokijua zaidi ya wizi na kuumiza raia, siku yaja atatamani mbingu ishuke...... Kaharibu sana hii nchi ndio maana majority wamemkataa kabaki na nyie machawa tu.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Kipande cha Tabora-Kigoma kipo financed na AfDB na wana mwakilishi wao so pesa ya mkandarasi inalipwa kwa progress hata huyu Muuaji anenda kuzindua kwa ajili ya kisiasa tu maana mradi mpaka sasa progress yake ni more than 12%
  5. N

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    This is the way forward...... Hata sasa wengi wao wana mashaka makubwa na 2030 maana haitakuwa rahisi kama wataendelea na upumbavu wao
  6. N

    JamiiForums Tanzania John Heche: Mashambulizi dhidi yangu ni kututoa kwenye mjadala wa Kifo cha Utata cha Dereva Wangu Suez

    Stronger together, tuendelee ku-focus na mambo muhimu kwa kuzidisha pressure kwa hawa maharamia.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Propaganda zote za CCM kwa CHADEMA zimefeli, tuwashauri mbinu mpya na za kisasa

    Stronger together, hii mbungi ya CDM inawalaza vilaza wa CCM na viatu vyao na wameishiwa mbinu kabisa imebaki kutumia polisi, mahakama, bunge na machawa ambao kila mtu now anawapuuza.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuchangiwa Bilioni 200 bado ameshindwa ushawishi na Mange Kimambi

    Mfano wa hayo mambo yanayoenda please?
  9. N

    JamiiForums Tanzania Ni utaratibu na falsafa CCM kuua upinzani tangu mwaka 2005

    Na itakuwa kubwa na mbaya sana as time goes by.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuchangiwa Bilioni 200 bado ameshindwa ushawishi na Mange Kimambi

    Huyu muuaji amekataliwa kila mahala hata kwenye hizo hafla anazoshiriki kama mgeni rasmi audience unaona kabisa hawampi ushirikiano ni kama anawapotezea muda tu..........anakaza uso kwa uongo kuhadaa watu huku anafahamu kabisa hana ushawishi wowote na anafanya vile kwa maslahi yao tu.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Njama za kuhujumu Marathon ya CHADEMA zaanza kupangwa

    Hizo trillion kadhaa zilizopigwa na wahuni wa CCM wanaojiita viongozi baada ya kuambiwa wale kwa urefu wa kamba unajua zinge cover km ngapi za barabara ambazo kote ni mashimo tu gentleman?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Njama za kuhujumu Marathon ya CHADEMA zaanza kupangwa

    Kuliko ule ulioainishwa ni CAG gentleman?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Njama za kuhujumu Marathon ya CHADEMA zaanza kupangwa

    Hii mbingi inayopigwa na CDM sio ya kitoto, CCM wanatapatapa kina kona na hakuna anaewashobokea labda machawa na wenye tamaa zao.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mbowe aliachiwa huru ndio maridhiano yakafanyika. Kwanini kwa Lissu wanalazimisha maridhiano ndio aachiwe?

    That is obvious mkuu, wanamuogopa jamaa kama cancer
Back
Top Bottom