Neno la mungu lasema, wale walio wa Mungu mtawatambua kwa matunda Yao!! Ulinzi wa Mungu ni zaid Ya bastola nk... Nasema waz cmhukumu Gwajima lkn Gwajima c mtumushi wa Mungu kwel!!! Iman yake kwa Mungu is questionable per se!!!
Jaman una proof Ya unayoyasema Au unaongea tu km upepo mtoa hoja??? Unaweza kudhibitisha kwel kwamba police na usalama ndo wanaohucka na kusamabaza uongo huo?? Be careful kijana!!who ever allege must proove...
Hawa watu wanatofautiana kabsa!! However wote wana makosa so sheria uchukue mko do wake tu kwakwel hatuwez kuw avumilia Watu wazma wanao fanya mambo Ya kitoto.... Mtu mzma unamtukanaje mwenzio hadharan?shindana Kwa hoja jamii ikubali hoja zako
Daaa umenikumbusha mbaali sn mzee!kijana Wilkie anajua kupenda cjapata kuona!alisomea kupenda! Mkiw faragha hutatamani mmalize!alikuwa anajua mwanamke anahitaj nin lkn cjutii mume acha!alikuwa mtot wa mama sn so hatukuwa na future zaidi ya kupendana kupeana doz bac!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.