Sasa kama atachukiwa nyie mnaohitaji kupendwa na mafisadi na wazembe si muendelee. Mheshiwa magufuli endelea kujenga inchi hii hawa sasa hivi watabadili gear na kusema wewe ni dhaifu. Hapa kazi tu.
Kwanza niipongeze serikali kwa kupunguza vipato vya dilidili zisizofuata taratibu kwani zilikuwa ni chachu ya haramu. Tatizo ninaloliona mimi mabenki mengi ikiwemo crdb walishindwa kufanya majukumu yake ipasavyo. Ukiuliza chimbuko la crdb lilikuwa nini na walichokuwa wakifanya ni nini. Hapo...
Kiongozi kwani monitoring and evaluation hufanyika lini. Hilo ni jambo ndogo tu la tathmini na ufuatiliaji hasa kupata taarifa na takwimu sahihi. Hakuna msingi wa kusema taarifa huwakilishwa muda fulani basi ufuatiliaji wa taarifa hizo usifanywe. Jamani tuondokane na mazoea, tutimize wajibu...
Hakuna mtu aliyepangiwa kuwa mkuu wa mkoa ama wilaya ni mpango wa Mungu tu. Biblia inasema mlango mmoja ukifungwa mngine hufunguka. Mi naona mnaendeleza majungu tu. Ni vyema mkamuombea kiongozi aongoze kwa hekima na busara kuliko kuponda kila jambo. Usimuwazie mwenzio mabaya ila muwazie mema...
Unajua kipindi cha uchaguzi vyama vyote vinaandaa sera zinatoa twasira kuwa kama chama hicho kikipata ridhaa kitatekeleza. Baada ya uchaguzi inabidi chama kilichopata ridhaa serikali inayoundwa inafanya chini juu kuandaa mipango ya muda mrefu na mfupi kuteleza ilani ya chama kilichoshika dola...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.