Mwanza city,ni mji mzuri Tanzania nzima kuanzia madhari,na pia ni jiji lenye Magorofa mengi zaidi ktk ya CBD ukitoa Dsm,,lakini jiji hili linarudishwa nyuma na serikali yetu kwa kukosa miundo mbinu bora ya barabara nzuri, ,hasa za kuingia na kutoka. ndani ya jiji, yaani ni zero kbsaa,,siku...