Tatizo muda wote munawaza mambo yq vyama kwenye vitu vya msingi.Nchi yetu ina jeshi la zima moto na ukoaji ambalo linafanya kazi kizamani na halina vifaa vya kutosha.Jeshi hilo ndiyo hasa linahusika na majanga ya aina hii.Leo liko wapi hadi mkuu wa wilaya naye anakuwa mkoaji?! Nakumbuka ajari ya...
Kumbe hata haujui nan muhusika wa uokoaji kwenye majanga,haujui hata vifaa vya uokoaji,kwa mawazo yako mkuu huyo wa wilaya ataokoa watu wangapi kwa style hiyo??
Kazi ya mbunge siyo kujenga barabara, ukianza kumlaumu kwa hilo itaonekana haujui uendeshwaji wa serikali ulivyo.Kwa vile Chadema na Ukawa yote ndiyo wanaongoza Manispaa ya Kinondoni,wape muda kwa vile hizo ni barabara za halmashauri,wabajeti vizuri ili barabara zijengwe
Dah!! hv Kweli Nape Nauye unaweza kusimama mbele ya bunge kuwaambia watanzania hawawezi kuangali bunge kwa vile ni gharama kubwa kurusha live?! Hv kweli sisi tunaendelea au tunarudi nyuma?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.