Recent content by Nyanda lunduma

  1. Nyanda lunduma

    Tatizo la kujing'ata ulimi ukiwa usingizini na dawa yake

    Habari ndg zangu. Kama maada ilivyo hapo juu nina tatizo la kujing'ata ulimi usiku nikiwa nimelala je tatizo huwa nini na njia gani nitumie ili niondokane na hili Tatizo. Naombeni msaada wenu
  2. Nyanda lunduma

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Nakuja boss Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
  3. Nyanda lunduma

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Sina pori mkuu ila kikwapa kinatema mkuu
  4. Nyanda lunduma

    Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

    Wakuu nisaidieni dawa, ziwe za mitishamba au za kitaalamu kundoa hili tatizo la kunuka kwapa mpaka naona aibu kuwa na wezangu karibu , nimejaribu kutumia tangawizi, limao na asali kwa kusaga na kuweka kwenye kwapa lakini tatizo bado.Msaada ndugu zangu
  5. Nyanda lunduma

    Nina tatizo la macho kuwasha

    Asante sana nimeona unafuu kabsa
  6. Nyanda lunduma

    Nina tatizo la macho kuwasha

    Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu. Naombeni msaada.
Back
Top Bottom