Habari ndg zangu.
Kama maada ilivyo hapo juu nina tatizo la kujing'ata ulimi usiku nikiwa nimelala je tatizo huwa nini na njia gani nitumie ili niondokane na hili Tatizo.
Naombeni msaada wenu
Wakuu nisaidieni dawa, ziwe za mitishamba au za kitaalamu kundoa hili tatizo la kunuka kwapa mpaka naona aibu kuwa na wezangu karibu , nimejaribu kutumia tangawizi, limao na asali kwa kusaga na kuweka kwenye kwapa lakini tatizo bado.Msaada ndugu zangu
Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu.
Naombeni msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.