Viongozi wa chadema ni lini operation M4C itatua RORYA? maana ni jimbo linalohitaji ukombozi wa kifikra na kiuchumi walioko madarakani kwa mtazamo wangu naona kama wameshindwa kuleta mabadiliko.
Viongozi wa CHADEMA ( kamanda Mbowe, Lema, Slaa, Heche, Mnyika na wengineo ni lini operation M4C itatua Rorya? maana ni jimbo linalohitaji ukombozi wa kifikra na kiuchumi.
Mwigulu nchemba hawezi kupambana na chadema hata akinunua kadi milioni moja, ushauri wangu kwa mmiliki wa nyota tv asiwe na upendeleo maana nyota tv siyo ya ccm pekee bali ni ndani na nje ya tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.