Hii pia ni ushaidi tosha kwamba ikitokea tukaingia vitani na Kenya tutapoteza vita kwa sbb vita vya sasa hivi vinapiganwa kisayansi si kimaguvu km serikali yetu ya Ccm inavyoamini.
Radio ya taifa ndio inayowatangazia hao wa vijijini kwamba Nyerere bado ni rais? Hakuna kijiji chochote Tz hii ambacho utandawazi haujafika jambo kwa kiwango cha chini, ila bahati mbaya yenu matokeo ya vitu vyenu vyote huwa mnayo mfukoni bt mnatafuta visababu tu vya kuyahalalisha hata km ukweli...
Siasa gani wamefanya hapo ndugu yng? kutoa maoni yao na kusema wanachosimamia khs uwekezaji wa bandari ni siasa? Au wangesimamia kuunga mkono uwekezaji ndio ingekuwa sio siasa?
Sasa km hadhira yao ni waumini ulitaka waseme kwa niaba ya kina nani? Sisi huku tunasema mmoja mmoja lkn ingetakiwa kuwa na sauti moja yenye nguvu ya kuwasilisha mawazo yetu ambayo ni bunge, bunge limeshindwa kufanya kazi yake Tec wameamua kuwasilisha Sauti ya pamoja kuhusu msimamo wao na...
Point kubwa sn hii mkuu. Naomba imfikie yeyote anayeweza kuijengea hoja vzr eg Tundu Lissu awaulize kina JK. Wanashindwa kujibu hoja wanajificha nyuma ya udini
Viongozi wa kisiasa wakitumia majukwaa ya makanisa au misikiti kwa manufaa ya kisiasa "Hapa dini haijachanganywa na siasa" ila Viongozi wa kidini wakiongelea siasa tena kwa mambo muhimu kabisa yanayogusa maslahi mapama na mustakabali wa vizazi vijazo ambapo dini lzm iseme ukweli " Hapa sasa...
Hakuna mtu yyt mwenye akili timamu anayeweza kupinga uwekezaji wenye tija, tatizo ni pale terms za uwekezaji zinapokuwa hazina tija kwa taifa. Hata mpangaji wa chumba ana clear terms na mwenye nyumba, inakuwaje ishu kubwa km ya bandari isiwe na clear terms?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.