Kwanza huyo mwanamke ikitokea mkaachana tafuta kama utapata mwenye kukuvumilia kama huyu anaejiliza liza hapa unamkashfu hadharani n bado analia eti anakupenda, huyu sijui utakua umempa nn maana kwanza siamin wanawake wa aina hii bado wapo, yaani unamfanyia uhunia hadharani na bado amegota hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.