Kama unaona nimejieleza ili nipate kuhurumiwa hayo mawazo yako na nayaheshimu.
Ila unaonekana umeamua tu kunikosoa sababu nimeshasema nipo Dar Es Salaam lakini wewe unasema sijasema nipo mkoa gani sasa huoni huna msaada na mimi ila umeamua tu kukosoa nilichokiandika.
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo
Nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kibarua chochote ili niweze kuisadia familia yangu nikiwa na maana ya mke na watoto pamoja na mzazi wangu ambae ni mjane.
Elimu yangu ni form 6 ila pia najua kutumia computer.
Hata kama ni kibarua cha kulipwa kwa siku nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.