Recent content by nyalio

  1. N

    Kaburi jingine la umati la Wahindi Wekundu lagunduliwa Canada, ni karibu na shule ya Wamishonari wa Ulaya

    inafaa kuzingatia kua hakuna damu ya binadamu itakayopotea bure kila tone lina thamani mbele ya muumbaji dunia na vilivyomo!
  2. N

    Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

    hakika hawajajua makusudio ya kuumbwa ambayo yamezingatia maisha baada ya maisha haya ya muda kuelekea maisha yasio mwisho!
  3. N

    Ndugu Rashid Salum Adiy Amepleka Petition UN kwa ajili ya kupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Yanayotokea ni mavuno yatokanayo na msingi uliokosa nia njema kwa mmoja kujifanya mkubwa anahaki zaidi kumbe ni upumbavu ambao ni zaidi ya ujinga, sasa mwenye maneno kuhusu hio petition awasaidie wanaodaiwa kule new york mwezi wa tisa!
  4. N

    Jumuiya ya Kimataifa yaelezea wasiwasi juu ya ghasia za Jerusalem. Watu 200 wajeruhiwa

    Suluhisho si kuondoa waarabu hao jamaa hawajulikani wanachokitaka
Back
Top Bottom