umenena kila siku na mimi nawaambia watz wenzangu kufuta ujinga tz ni hatari kwa ccm, wajumbe wa nyumba kumi wengi awajui hata kusoma na kuandika na wana maisha magumu ila kwa kukosa elimu kwao wamebaki na vibendera kwenye nyumba zao. wangine wananipiga mizinga wamechoka nawauliza vipi...
mahali popote duniani mtu akisahihisha jambo kiuandishi uwa amejiweka katika wakati mzuri maana kumbuka kuna makosa ambayo ni common mistakes. Kama gazeti litafungiwa itakuwa ni mbinu ya wakubwa kuzilka demokrasia ya habari na kuwanyima watanzania haki ya kuelimishwa. Tupinge jambo hilo kwa...
hureeeee mwalimu alisema ukiona wanaanza kugawanyika ujue ndiyo mwisho wao, sisiem wamegawanyika sana lazima chadema iwashinde tu, subirini serikali za mitaa. Ahsanten wana sisiem mnaotuunga mkono na mguu tutaendelea kuwatunzia siri. ila itafika siku muwe jasiri mjitoe waziwazi. maana waoga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.