kama watumiaji wa hizo taa wanatekwa, wanateswa na kuuawa kweupe hizo taa zinafaida gani?
Acheni kujipendekeza kwa kichwa kubwa isiyo na akili hata kidogo.
Acheni kumtukuza huyu mpumbavu
Kuna wakati unaweza sema Mungu alifanya dhambi kumuumba mtu mweusi.
Untaka yeye awe anakema mapepo tu yasio onekana.
Halafu akae kimya kwa mafisadi, wala rushwa na wauaji anao wajua?
Eti vita vyetu si vya kiroho, kwani wakaloni mlipambana nao kwa maombi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.