Rais Samia Suluhu Hassan, alishiriki katika harambee ya ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre, kinachojengwa na Kanisa la KKKT.
Akizungumza katika harambee hiyo, Rais Samia pamoja na ofisi yake wamechangia shilingi milioni 250 kwa ajili ya ujenzi...
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kutoa kipaumbele kwa maendeleo ya wananchi kwa vitendo, hususan kwa kuwainua kiuchumi kupitia mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri isiyo na riba.
Mikopo hii imetolewa kwa makundi maalumu ya...
Jamani Asanteni,
Ila nilichojifunza ni kwamba tukipewa ofisi, tufanye kazi na kuwajibika.
Yani mtu unaweza kuharibu sifa ya ofisi yako sababu ya kuchukulia vitu poa.
Yule Mama anasema Maboss wa NMB walikuwa hawana taarifa , jambo limefika kwao limeisha fasta na amepewa hati yake kirahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.