Dooh kumbe ubavu wa Julia nao ni hatari?vipi kwa yule anayeumwa na nyonga akilalia ubavu mmoja tu sasa uyo atatumia njia gani maana walau awe anabadili muelekeo wa ulalo..nisaidie apo plz
Habari zenu wapendwa...Mimi ni mjamzito wa miezi minne kasoro kwa bahati mbaya nimeugua malaria na ilionekana ninawadudu saba kwa kipimo cha BS,ila nimekwenda Hosp wakanipima kwa kutumia MRTD malaria haikuonekana,Nurse akanambia kwa vile haijaonekana katumie CT sasa wataalam wa dawa sijui ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.