naombeni msaada kwa yeyote mwenye mapenzi mema, mimi ni kijana mtanzania nimemaliza ngazi ya stashahada katika fani ya UHANDISI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA MIGODINI mwaka 2016 mara baada ya kuhitimu niliona ni vyema niombe kuendelea na n masomo ya elimu ya juu na nikachaguliwa katika chuo kikuu...
jamani serikali yetu tukufu mnatunyanyasa watanzania hasa watoto wa masikini ambao tuna diploma holder,(equivalent qualification) ni heri mngelitwambia mapema kabla hatujaomba mkopo kuwa equivalent qualification hawatopatiwa mkopo ile elfu 80 nilotumia katka zoezi zima la kuomba mkopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.