One of Prime Minister Benjamin Netanyahu’s key allies has been accused of damaging Israel with just one word, after making a social media post about the alleged strike on an Iranian airfield.
Iran has brushed off reports of explosions in the skies over Isfahan on Friday, while West Jerusalem...
Hao wayahudi feki bila msaada wa kifedha na kiulinzi wa marekani na ulaya ni weupe hata Burundi wanajipigia..
Eti teknolojia!wameitoa wapi wakati kila kitu wanapewa msaada na wazungu wenzao..
Israel hana uwezo wa kujilinda wala vita
Hata kupigana na wanagambo wa hamas marekani alipeleka mimeli na midege ya kivita kumsaidia
That group of europeans is overrated
You watch too much cnn and bbc
Kwenye art of war kuna decoy strikes za kumfanya adui aconcetrate huko..
Makombora ya Iran waliyotaka yapige target yamepiga na danganya toto za kuwazuga ndo hizo unazosikia wameintercept
Kambi mvili za kijeshi za Israel zimechakazwa
Maana yake ni kwamba...
Israel hawana uwezo wa kuipiga Iran pamoja na kusaidiwa kijeshi na wasaidizi wake wa kila siku
Iran ni one man army...
Israel is overrated
Jeshi dhaifu sana lile
Wanatolewa uasho na wanamgambo wa hamas
Iran wamewaambia wajaeibu tena kuwachokoza,,watawapa kipigo cha mbwa mwizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.