Kufuta Bima ya watoto ni upumbavu kabisa yaani Bima inakuwa haisaidi WANANCHI
Changamoto ya nchii watu wakikaa serikalini akili zinakuwa zaupigaji tu na kuonea watu
SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.
JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE...
Wakuu nawasalimu habari za hapa jamvini
Karibuni sana katika mjadala huu ambao umelenga hasa kusaidiana kujua zaidi ya huu mziki wa country ambao ni mziki unaokongo moyo na kukufanya kama unashida usahau kwa mda..
kwangu mm nilipenda kujua zaidi wakali wa hiz nyimbo...kwa sasa top ten zangu...
Chadema wamekosa mtu mwenye akili wa kuona mambo ktk 3D waliopo ni makerere tu. juzi Mwanza kiwanja cha furahisha walijikita kumtukana na kumponda Zitto bila kuangalia facts za kujenga na kuwasaidia wananchi juu ya matatizo yao. walifikia mpaka hatua ya kuwambia watu wasihudhurie kwenye mkutano...
Hiki chama hatari ni zaid ya chadema niliyokuwa naifahamu niko hapa kwenye viwanja vya furahisha watu ni wengi wanamwagika kama mvua ,wanachukua kadi kwa fujo ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.