Recent content by nusu kaputi

  1. N

    Tetesi: Kuna nini kinaendelea bima? Hospitali hazijalipwa madai zaidi ya miezi 5

    Kufuta Bima ya watoto ni upumbavu kabisa yaani Bima inakuwa haisaidi WANANCHI Changamoto ya nchii watu wakikaa serikalini akili zinakuwa zaupigaji tu na kuonea watu
  2. N

    Tetesi: Kuna nini kinaendelea bima? Hospitali hazijalipwa madai zaidi ya miezi 5

    SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA. JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE...
  3. N

    Wapenzi wa Muziki wa Country tukutane hapa

    Wakuu nawasalimu habari za hapa jamvini Karibuni sana katika mjadala huu ambao umelenga hasa kusaidiana kujua zaidi ya huu mziki wa country ambao ni mziki unaokongo moyo na kukufanya kama unashida usahau kwa mda.. kwangu mm nilipenda kujua zaidi wakali wa hiz nyimbo...kwa sasa top ten zangu...
  4. N

    Mkutano wa ACT - Wazalendo viwanja vya Furahisha Mwanza

    Chadema wamekosa mtu mwenye akili wa kuona mambo ktk 3D waliopo ni makerere tu. juzi Mwanza kiwanja cha furahisha walijikita kumtukana na kumponda Zitto bila kuangalia facts za kujenga na kuwasaidia wananchi juu ya matatizo yao. walifikia mpaka hatua ya kuwambia watu wasihudhurie kwenye mkutano...
  5. N

    Mkutano wa ACT - Wazalendo viwanja vya Furahisha Mwanza

    Hiki chama hatari ni zaid ya chadema niliyokuwa naifahamu niko hapa kwenye viwanja vya furahisha watu ni wengi wanamwagika kama mvua ,wanachukua kadi kwa fujo ..
  6. N

    Mshahara wa mtu mwenye Diploma ya Dental Therapy

    Basic salary 1,320,000/=Tsh
  7. N

    Mshahara wa mtu mwenye Diploma ya Dental Therapy

    610,000/= Tsh..Basic salary
  8. N

    Mkutano mkubwa wa Injili Uwanja wa Taifa Februari 1-7 2015

    na litukuzwe jina la bwana aliye juu naamini wa Tanzania tutabarikiwa kupitia maombi yao
Back
Top Bottom