Serikali yetu sikivu ikiongozwa na Raisi Samia Suluhu ,Chukueni hatua za haraka mkishirikiana na Baraza la Maaskofu TEC, Wagonjwa tunaoumia , Madactari wameanza kuomba rushwa na kuongea lugha mbaya ya vitisho
Mfano siku nimepeleka mama yangu kutibiwa nilikutana na Dactari wa kinamama...
Tanzania kwa sasa imekuwa ni nchi yenye matukio mengi sana, masuala ya ubakaji, watu kufa au kuugua bila taarifa, Afya kuwa ovyo n.k
Nchii hi msemaji mkuu ni Rais, kwanini usirudi utaratibu Rais wa nchi kuhutubia taifa kila mwezi?
Hii italeta dira ya nchi na taswira nzima na huenda hata...
Kweli kabisa Aga Khan ni hospital ambayo Iko Kwenye Joint commission international accreditation,hata muhimbili na JCI Hawana JCI, anaifututia bima maana yake hujaikomesha ila umepumzisha na upuuzi wako uliza mmarekani yoyote akitaka kutibiwa,ulaya nzima ni mpaka hospitali yenye acredation ya JCI
Unaposhusha bei hakikisha hata bei ya soko ya hizo Dawa zimeshuka,Vifaa vimeshuka,Umeme umeshuka,ushuru umeshika, material ujenzi yameshuka,maji yameshuka(◍•ᴗ•◍)Dollar imeshuka ,
Ili mteja wa Bima apeta HUDUMA stahili.
Kwa ujumla ni kwamba hii nchi tumewapa vibaka Kwenye vitango Muhimu ,
Hata...
Habari za Leo wananchi!
Hali inayoendelea katika nchi yetu katika HUDUMA afya baada ya kushuswa bei za Bima NHIF kutokana na Maboresha HUDUMA katika hospital zetu zinazidi kuwa mbaya, Hospital zimefunga baadhi ya HUDUMA na kupunguza watumishi wakujitolea.
Hali hii imeanza kuonekana Kwa Kasi...
Mrejesho nilipata mkopo ,lakini baada ya kuandika barua kwenda Kwa Bank manager nikiambatanisha na screen short ya SONGESHA inayonesha Sina Mkopo ,hapo ndio nilipopata mkopo rafiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.