anaongeza kuwa klabu za uongozi ni msingi wakuwajenga wasichana kujiamini na kuwa viongozi wa baadaye.
Kwa Skuli ya Benmbella, Mwalimu Bakari Mohammed anaeleza kuwa uchaguzi wa serikali za wanafunzi unawahamasisha watoto kujiamini. Rais wa wanafunzi huchagua baraza lake la mawaziri na kushiriki...
Na Nusra Shaaban
Walimu wapya walioajiriwa katika Wilaya ya Mjini wametakiwa kuzingatia maadili ya taaluma, kuwa wavumilivu, na kuwa na moyo wa kujituma ili kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora.
Akizungumza katika semina ya kuwapa nasaha za kitaaluma iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.