Tafadhali naomba mnisaidie wana jf.Natafuta kazi/kibarua au kazi yoyote naweza fanya.nina ujuzi wa computer na elimu yangu imeishia advance certificate.mimi ni muaminifu na mchapa kazi.sichagui kazi coz nimechoka kukaa nyumbani.
Nina elimu ya advance certificate ya fish processing,marketing and quality assurance.
Pia computer course.
Pia nilisoma diploma ya custom and tax management ila sikuweza kumaliza kutokana na hali ngumu ya maisha ya familia yetu.plz naomben mnisaidie niweze kupata ajira yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.