Kama ni mfanya biashara wa kweli sioni tatizo, wenye nia ya kweli wanauliza maswali na nawajibu, na tunaendelea na process inayofata. Watu wengine kazi kukosoa/dharau na kuvunjana moyo tu, hakuna cha zaidi. WATANZANIA ndio maana hatuendelei.
Mabalo ni ya 45Kg, Mixed niloyonayo ni ya suruali za kike tu. Bei zinategemea na aina ya nguo unazo hitaji, mfano Men Jeans 480,000? ladies' silk dress 550,000,/= ladies cotton dress 500,000/=
Kila mtu ana aina ya biashara ya aina yake mwingine anahitaji nguo za watoto, mwingine za kiume mwingine za kike, ninapomwambia mtu njoo whatsapp ni tuweze kuulizana maswali yote hayo, hapa tutajaza uzi na km ukiangalia majibu kuna niloyemjibu bei ni kuanzia 650,000 kuja chini. kila aina...
Ni wauzaji wa mitumba kwa jumla (Mabalo), tunapatikana Mapambano karibu na Zahanati ya kijitonyama, tuna tunatuma Mikoa yote, kwa mawasiliano zaidi piga/Whatsapp number 0715559494. Karibuni sana (Kwa walio serious tu, km hauko serious waachie kwenye nia)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.