Recent content by Numi

  1. N

    TRA vipi makusanyo, au zilikuwa nguvu za soda?

    Nafikiri sehemu kubwa ya mapato itakuwa inatokea traffic, ubunifu huo!!
  2. N

    Ubunge Afrika Mashariki: Mgogoro Mzito ndani ya CHADEMA waibuka

    Mtakuwa mnaswagwa kwa fimbo. Mumepata mchungaji c mchezo! Hongereni! Magamba oyee!
  3. N

    Ubunge Afrika Mashariki: Mgogoro Mzito ndani ya CHADEMA waibuka

    Hahaha! Nyani kweli haoni kundu le! Sasa kati ya CDM na CCM nani wana uongozi wa ubinafisi? Naona mumebinafsisha chama kwa ngosha!
  4. N

    Elibariki Kingu: Kwa hili la RC wa Dar, naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM

    Namshauri arudi kuwa Konda kama zamani! Asione aibu hayo yote ni maisha!
  5. N

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    Kama ulivyo sema, "you can foolsome people for sometimes but you can't fool all the people all the time" bashite a.k.a call me J come up na uondoe utata. Huhitaji kusafishwa na mtu yeyote!
  6. N

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Wewe umeenda na umefanya hivyo? Nilidhani una majibu kumbe porojo!!
  7. N

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Kwani watumishi hewa kutumbuliwa hivi karibuni wahusika walikuwa wapi? Usianze story za mti wenye matunda hapa!
  8. N

    Mh. Rais jiridhishe juu ya vyeti vya Makonda na elimu yake

    Hao ndo vilaza original!
  9. N

    Sakata la Lissu: Wabunge wa Upinzani watoka nje ya Ukumbi wa Bunge

    Pengine wanahitaji msaada wako!!
Back
Top Bottom