Kawambwa anapaswa kujiuliza ni kwanini wazazi hawapendi kupeleka watoto wao ktk shule za serikali japo kiwango cha ufaulu ni kidogo na gharama ni ndogo?Alipaswa kuhangaika na suala la kushusha ada ktk shule binafsi ili wazazi wengi zaidi wanufaike na elimu ktk taasisi hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.