Recent content by Nucky Thompson

  1. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

    Hakumtaja yeye mwenyewe bali mwandishi ndio alianza kumuuliza kwa nini alikuwa hapatani na Magufuli Na ni kweli Magufuli alimuita Rostam Ikulu na akaita waandishi akapiga nae picha, kisha akazunguka nae kwenye ziara Morogoro
  2. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Nini kimetokea mpaka marais watatu wenye asili ya Ukristo wakafa ?

    Cha kushangaza hapo nini? kufa ni kawaida, kutokufa ndio kitu cha kushangaza
  3. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Umbumbu ni tabu sana

    David Livingstone mbona hata hakufika mlima Kilimanjaro? Nadhani wewe ndiye utakua mbumbumbu halisi unayechukua ujinga mtandaoni na kuuamini na kuusambaza
  4. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Nakumbusha: Kutembea kwa miguu ndio zoezi bora na salama, kukimbia ni kujizeesha kwa hiyari

    Tembea mzee, hayo mazoezi umeshakata mafuta sawa,, ku maintain mazoezi bila kuupa mwili stress pia ni vizuri zaidi, unakuwa na muonekano mzuri bila kukakamaa lakini bado una afya na nguvu..Mimi sijawahi kimbia, natembea kivulini wakati wa jion, ila kwa miaka mingi uzito wangu unacheza kwenye...
  5. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Nakumbusha: Kutembea kwa miguu ndio zoezi bora na salama, kukimbia ni kujizeesha kwa hiyari

    Yeah, linaweza kuwa na maana hiyo lakini haimaanishi watu wote watazingatia hiyo maana Changamoto kubwa ya mazoezi kwa watu wengi ni consistency...mazoezi kadri yanavyokuwa magumu ndio Ku maintain consistency inakuwa shida, so chagua mazoezi ambayo unaeeza kuyafanya kila siku bila shida yoyote...
  6. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Nakumbusha: Kutembea kwa miguu ndio zoezi bora na salama, kukimbia ni kujizeesha kwa hiyari

    Kwanza hii sio "conspiracy " au sijui conspiracy umemaanisha kwa maana sahihi ya hilo neno au una maana nyingine, hii ni basic science, wanaofanya wanaweza wakawa wanajua, ama hawajui, mazoezi inategemea na lengo, mfano mwingine anaona ni fun kukimbia, anakimbia, ushauri wangu unawalenga...
  7. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Nakumbusha: Kutembea kwa miguu ndio zoezi bora na salama, kukimbia ni kujizeesha kwa hiyari

    Kwenye mazoezi kitu muhiu zaidi ni consistency zaidi kuliko intensity, yaani ni bora MTU anayetambea kilomita 3 kila Siku mwaka mzima, kuliko anayekimbia kilomita 10 kila wiki lakini miezi 2 tu tayari anaona uvivu Kutembea watu wengi hawajui in zoezi effective kiasi gani, wanachukulia poa...
  8. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    Akina Kitilya hawakutiwa hatiani, waliambiwa watoe hela waachiwe
  9. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    Ila wakati wa kampeni yake yake aliahidi kuwafunga mafisadi, akaanzisha hadi "mahakama ya mafisadi"
  10. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    We we ndio useme sasa, sisi tunajua kufungwa kwa ufisadi
  11. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    Kuna Wapinzani wameamua iwe hivyo, hawa ndio nawajibu Wanapush narrative kuwa sasa hivi ndio ufisadi umerudi, kipindi cha Magufuli mafisadi walifungwa, nataka kujibizana nao, hoja kwa hoja
  12. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    Anatakiwa afungwe sababu kuiba ni kosa hata kama akirudisha....
  13. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    Hukusoma nabumekurupuka kujibu kwa kuangalia title
  14. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    Kuna watu wana nostalgia na utawala wa Magufuli, wakimshangilia Polepole, kuwa ulikuwa utawala uliojali demokrasia, haki za watu, na kupambana na kufunga mafisadi
Back
Top Bottom