Recent content by ntulinkisah

  1. ntulinkisah

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Zana za upako zimeshindwa kuponya janga hili tulilo nalo ....hapa ndio tunajua kumbe ni porojo tu hazina upako wowote .... Sent using Jamii Forums mobile app
  2. ntulinkisah

    Inawezekanaje!!! Chupi za upako??

    Mkuu huu si uganga kabisa huu wasimsingizie Mungu kwa vitu vya kijinga kama hivi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. ntulinkisah

    Inawezekanaje!!! Chupi za upako??

    Shalom.. Ni mambo yakushangaza sana jamani katika pita zangu nikaona chupi za upako zina picha kabisa ya mtumishi... nmeshangaa sana nikajiuliza inawezekanaje mambo haya..... ina maana watu tumefikia hatua hii ya kumchezea Mungu kiasi hichi??? Inawezekanaje nguvu ya Mungu kukaa katika chupi...
  4. ntulinkisah

    Wanawake mlio na ndoa someni hapa kuna la kujifunza

    Ujumbe mzuri sana huu wanawake tunapaswa kujifunza hili,, siku zote wanawake tunapenda sana kuongea ongea sana siri za ndoa zetu kwa watu na ni kitu ambacho si kizuri maana si kila unayeenda kumsimulia siri zako akawa anawaza mema juu yako ....lipo la kujifunza hapa Sent using Jamii Forums...
Back
Top Bottom