Kuna foleni kubwa sana maeneno ya Ruvu Pwani inayosababishwa na matengenezo ya muda mrefu ya Daraja. Hii inachelewesha usafirishaji wa abiria na mizigo
Shida ni nini?
1. Speed ndogo ya ujenzi wa daraja ambapo ni zaidi ya miezi sita sasa au
2. Polisi wameshindwa kudhibiti foleni pamoja na...
Tatizo la kutoelewa sheria kanuni na taratibu kazini zinapelekea mkanganyiko mkubwa. Inawezekana hata Makonda mwenyewe hajui nini anapaswa kufanya kama mwenezi wa chama. Anadhani na yeye ni kiongozi Serikalini. Kuna siku atamhoji mpaka Mkuu wa Serikali ambaye ni Mwenyekiti pia
Sitashangaa siku akihoji Mamlaka ya Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
Anachokifanya Makonda kuhoji watumishi wa umma hadharani ni sawa na kuhoji Mamlaka ya Kiongozi Mkuu wa Serikali amabaye ndie Rais na Mwenyekiti wa CCM.
Yaani hii ni kuidhalilisha Serikali.
Kwa kifupi Makonda anatemgeneza...
Paul Makonda ni Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi. Bila kuathiri Muundo wa Utumishi Serikalini, yeye Makonda ni Kiongozi wa Chama Cha Siasa Kama ilivyo kwa Chadema, TLP na CUF. Kwa hiyo chain of Command ya Utendaji wa Serikali haimtambui Mwenezi wa Chama Cha Siasa kuwa ni Reporting Unit kwenye...
Mbinu ya kumtaja mtuhumiwa Hadharani Kama mkosaji, inaharibu Sana Sifa yake. Kama Ni kweli kafanya Ni Sawa, lakini Kama bado Ni tuhuma, Basi ikithibitika mahakamani kuwa hakuwa Na kosa, inakuwa imemharibia Sifa Na hakuna mtu ataenda Hadharani Tena kumsafisha.
Nadhani mifumo ya ndani ya...
Mchakato Wa kumuondoa PM Ni ule ule Kama Wa kumuweka madarakani. Vipi Kama Bunge likagoma, kumuondoa Kwa Kura?
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.