Recent content by Ntavyo1

  1. N

    Najiuliza maswali kuhusu Waziri Mkuu atakayetokana na UKAWA

    wakati unafikiria hayo kumbuka ukawa sio chama na ni umoja unaofikirika tu haupo katika sheria, kanuni wala taratibu zozote zinazotambulika kisheria, katiba iko wazi Waziri Mkuu lazima atokane na chama chenye wabunge wengi full stop
  2. N

    Katizo la ziara ya Lowassa Mikumi, Ifakara, Mahenge na Ruaha

    Gwajima, anaitwa afisa Habari wa Ukawa
  3. N

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Hakuna ubishi kuwa Sumaye hajawahi kupewa nafasi yoyote katika Serikali ya awamu ya nne kutokana na maovu yake, na Lowasa amekuwa akitajwa kwa Ufisadi na wana C.C.M pamoja na Chadema na ndio maana aliwekwa kwenye list ya kujivua gamba na amekuwa akitamkwa waziwazi na kina Makonda nape na...
  4. N

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    nimemsikiliza kwa dk 10 alizoongea sijasikia Sera zake ni zipi zaidi ya kuomba kura, kuahidi kumuachia babu Seya na Masheikh wa Zanzibar pamoja na Balali, then akishafanya yote hayo maisha bora yanapatikanaje, halafu sera yake ni elimu, elimu, elimu..ha ha mwaka huu mtaisoma namba, mtu mwenyewe...
  5. N

    Hivi Lowasa kamtaja Jk?

    Kumbe mafisadi wapo Ccm tu, ukitaka kuokoka nenda UKAWA, sasa alivyokuwa anasema urafiki wake na Jk haukuanzia barabarani, kwa hiyo leo anathibitisha ulianzia barabarani, kweli mfa maji haishi kutapatapa.
Back
Top Bottom