Mtoa post umesema ameonesha picha na kusema waasisi wa TANU na mmojawapo alikuwepo, ni nani huyo? Kusema kujua uchumi siyo hoja huko ni kupotea njia, kinachotakiwa utashi wa kisiasa sambamba na ujuzi na maarifa. Unaweza kuwa na utashi lakini wataalam wa mambo wakakushauri vinginenvyo
This situation may suggest that; "State house has lost its value due to the behaviors of the current president or there is something to gain while in power, so everybody struggling for it or even the party has totally proved failure in recruiting and preparing the future leaders for the welfare...
Kutangaza nia siyo tatizo labda wasiwasi wangu ni huko kuiga kwa maccm make nakumbuka tuliawhi kuambiwa kuwa chama chake tayari kimempitisha kama mgombea wa chama hicho ili baadae ashindanishwe na wengine ndani ya UKAWA lakin cha ajabu anataka kutangaza tena, hapo nina mashaka makubwa
Nasikitika mtoa post unadharau elimu ya chia eti ni ya chuo kikuu huria eti ni ya chooni, kwni vyuo vya kawaida hamna vyoo? Unajua chuo kikuu huria kinashika nafasi ya ngapi kitaifa? mambo mengine tupunguze kuropoka, taja hoja yako ya msingi
CCM na watia nia wake ni majanga ya taifa. Leo Pinda anawambia watz kuwa ataleta utawala bora (hapo amekiri kuwa haupo kwa sasa) na kusahau kuwa aliwahi kutamka katika mkutano wa taifa (bungeni) kuwa wanaoandamana kudai haki zao wapigwe? Aibu kubwa. Hivi ni njia ipi mtu atasema na kusikika...
Nimesoma uzi mmoja ulikuwa ukiuliza ni kwa nini wana jamii f hawatangazi nia za kugombea udiwani. Sasa niweke bayana kuwa binafsi nilisha tia nia ya kugombea udiwani kata ya Businde iliyoko jimbo la Kyerwa mkoa wa Kagera. Nimejipanga vizuri kuwatumika wananchi wangu kwa tiketi ya CHADEMA na...
Huko ni kuimarisha Dipromasia, make UKAWA wanachukua nchi. Katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa chama. Kama chama makini lazima kuwa na dipromasia ya kimataifa, hata Nyerere kabla ya kukabidhiwa nchi na wakoloni alienda sana Marekani na Uengereza. Huyo haeindi kama kiongozi wa nchi make kiongozi...
Mimi nilishasemas sitojihangaisha kujua mgombea mzuria au mbaya kutoka CCM kama CCM wasivyo hangaika kujua mgombea mzuri au mbaya kutoka UKAWA. Hivyo wamsimaishe nani lazma apate zake bakora
BARUA YANGU YA WAZI KWA TUME YA UCHAGUZI NEC
WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU WAELEKEA KUKOSA HAKI YAO YA KIKATIBA
Mh, Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi NEC, wanafunzi wa elimu ya juu tunanomba makosa ya mwaka 2010 yasijirudie. Ikumbukwe kipindi hicho binafsi nikiwa kidato cha sita, tume hihi ilituhaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.