Habari,kwa wale walio wahi kuwa na tatizo tajwa hapo juu na wakafanikiwa kuondokana nalo naombeni msaada wa njia au dawa mlizotumia kumaliza tatizo hili.Tatizo hili linaninyima amani kwa muda mrefu sasa wa miaka 6 na nimejaribu deodorant mbalimbali lakin kadri siku zinavyo songa mbele na tatizo...
Tafadhali husikeni na kichwa hapo juu, nimekua nikifatilia post mbalimbali kuhusiana na google Adsense na kufatisha vile inavyoshauriwa lakini ni mara ya tatu sasa nawaomba hawa jamma lakini wananigomea.
Naomben wenye uzoefu na mambo haya mpitie blog yangu vizuri (Ndimanga Blog) halafu mnambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.