Recent content by nsumbo

  1. N

    Nahitaji PC au laptop kwa kujisomea

    Thanks bro
  2. N

    Hubert Kairuki Memorial University Special Thread

    Kipo mkoa wa Dar es Salaam Kinondoni maeneo ya mikocheni,, karibu mkuu
  3. N

    Msaada wa pc au laptop kwa kujisomea

    Mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza course ya afya,, naomba msaada wa PC nzuri kwa ajiri ya kujisomea na unafuu wa bei na pia upatikanaji wake napatikana Kinondoni Dar karibuni na asanteni
  4. N

    Nahitaji PC au laptop kwa kujisomea

    Mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza course ya afya, nahitaji msaada wa PC nzuri kwa ajili ya kujisomea na yenye bei nafuu na kwa yeyote anayeweza nisaidia upatikanaji wake, Napatikana Kinondoni Dar,,, Karibuni na asanteni
  5. N

    Hubert Kairuki Memorial University Special Thread

    pole sana mkuu ,pia hongera maana upo level ya juu sana kielimu pia asante kwa kutujuza kuhusu HKMU maana wengine n wageni kidogo,,,,,
  6. N

    Hubert Kairuki Memorial University Special Thread

    akijafungiwa sema kuna baadhi ya course hazikuruhusiwa kwa mwaka huu na sio kwa HKMU tu
  7. N

    Hubert Kairuki Memorial University Special Thread

    kwa undergraduate course mbili zimeruhusiwa ni : 1-Doctor of Medicine MD 2- Bachelor of Science in Nursing
  8. N

    Hubert Kairuki Memorial University Special Thread

    Kwa wale tulio bahatika kuanza first year, tulio-graduate na tunaoendelea na masomo HKMU (certificate, diploma, undergraduate, postgraduate etc, ) Karibuni sana tufahamiane ,tueleweshane na kwa chochote kile juu ya chuo chetu pendwa,,, karibuni
Back
Top Bottom