Recent content by Nsoji go Nvaa

  1. N

    Maxence Melo amshangaa Gerson Msigwa kusema waliovamia Ofisi za Jamiiforums ni Maafisa Usalama

    Hivi unaweza kufuta post umu jukwaani ambazo uliposti zamani? daah maana maji yashakorogeka
  2. N

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Jamiiforum hii hii jukwaa la siasa au mbona linafunguka au
  3. N

    Media house nazo zimejichokea. Maigizo yanakera mpaka waigizaji

    Hivi huyu nae amepewa lile V8 GXR
  4. N

    Hivi CCM hawaoni aibu jinsi kampeni zilivyopooza halafu hakuna anayefuatilia?

    Kwa mara ya kwanza sifatilii hii kitu inaitwa uchaguz habar nakutana nazo kwenye viredio vya fm tu kwa bahati mbaya
  5. N

    GE2025 Yericko Nyerere achukua fomu kuwania Ubunge Kigamboni, ahaidi kufanya mabadiliko

    Haka kajamaa nilikaona hakana akili kwenye uchaguzi wa chadema.kalijifunua tupu zake
  6. N

    Natafuta mke nipo serious

    Ili nisije kumcheat sheikh Nb huku usukumani tunapenda white
  7. N

    Natafuta mke nipo serious

    Amein
  8. N

    Natafuta mke nipo serious

    Natafuta mke aliye tayari aje dm .vigezo awe mcha mungu .mweupe mwenye shape nzuri asiwe mlevi
  9. N

    Binti wa UDSM aliyeposwa, kubakwa na kudhalilishwa na mchumba wa lazima anahitaji maombi yako

    Anapigwa huko ukweni kwa huyo mshikaji au anapigwa kwao na amefungiwa wapi? Na huko morogoro anaenda na nani
  10. N

    Uchambuzi: Nini Maana ya Kamati Kuu, Halmashauri Kuu, Sekretarieti, Mkutano Mkuu?

    Kamati kuu ni ile ina wajumbe 21 wanateuliwa na Mwenyekiti wao maccm inacombine marais wastaafu.Pm,spika na wajumbe wengine wanaopigiwa kura na na wajumbe wa Nec.na hao wajumbe wa nec hua wanachaguana huko usisiemuni kuna nafas hua kila mkoa unapewa na jumuia za maccm afu mkutano mkuu ni yale...
Back
Top Bottom