Hio ni August 8 anamuuliza kama behind the gram imeditiwa .
Inaonyesha still alikuwa anafanya kazi pale.
Wewe ukifanya kazi kibarua hata cha kung'oa majani ndo usilipwe kisha hakuna mkataba?????
Wewe hio ishu Mr.
Huyo baada ya mkataba kuisha aliendelea kufanya kazi japo bila mkataba.
Inamaana unataka kusema ukifanya kazi bila mkataba haulipwi???????
Huyo jamaa still alikuwa anafanya kazi wewe angalia tarehe za chatting zao ni za mwezi uliopita so still alikuwa anafanyakazi japo bila...
Kuacha nitaacha nasubiri nikifike hatua flani hivi
Kwa sasa nishaezeka , na plasta tayari na magrili.
Nipo na huyu jamaa.
Nikimaliza wiring, rangi, tales, na umeme. Na baadhi ya vitu naachana ne. Mwishoni mwa mwaka huu nitafika tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.