Recent content by nsemwae

  1. N

    Mtaala wa A-Level Physics

    Hicho ni form six current syllabus ukitaka na form five pia kipo
  2. N

    Tatizo lolote la PC/device

    Ni either mashine yako ina overheat na kusababisha proceessor ku- slowdown au hdd imekufa...jaribu kushughulikia cooling kwenye mashine yake though sometimes processor ikichoka pia hasa kwa baadhi ya probook na sony mambo hayo hutokea
  3. N

    Tatizo lolote la PC/device

    Kuna Possibility kubwa sana kuwa harddisk yako imekufa
  4. N

    Computer supplies Tz

    Ukubwa wa scale gani mkuu
  5. N

    Tatizo lolote la PC/device

    Zuia windows updates
  6. N

    Mafundi kompyuta (software and hardware)

    Kutana na mafundi wa uhakika wataalam wa kutengeneza kompyuta matatizo ya aina zote Kariakoo mtaa wa msimbazi na aggrey call: 0675378011 Karibu
  7. N

    Tatizo lolote la PC/device

    haina drivers
  8. N

    Tatizo lolote la PC/device

    speaker zimekufa
  9. N

    Tatizo lolote la PC/device

    audio jack haiko sawa kuna vipini fulani ndani ya hilo shimo la kuweka earphone jaribu kuviinua kidogo
  10. N

    Tatizo lolote la PC/device

    fungua safisha hiyo fan pamoja na heat sink ikirudia tafuta mtaalamu abadili fan au kama ni ishu ya voltages afanye looping
  11. N

    Tatizo lolote la PC/device

    Tatizo hilo ni critical kidogo kawaida utahitaji kuprogram upya ic ya BIOS ambayo mafundi huwa hatufanyi hiyo bali tunabadili hiyo ic/chip na kuweka nyingine ya mashine iliyokufa
Back
Top Bottom