Ni either mashine yako ina overheat na kusababisha proceessor ku- slowdown au hdd imekufa...jaribu kushughulikia cooling kwenye mashine yake though sometimes processor ikichoka pia hasa kwa baadhi ya probook na sony mambo hayo hutokea
Tatizo hilo ni critical kidogo kawaida utahitaji kuprogram upya ic ya BIOS ambayo mafundi huwa hatufanyi hiyo bali tunabadili hiyo ic/chip na kuweka nyingine ya mashine iliyokufa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.