Hii nchi hatapata maendeleo mpaka Yesu atarudi!
Yaani kwa Tanzania, mtu kuwa fisadi ni sifa? Na kwamba anahaki ya kulindwa tena kwa nguvu zote?
Kwa nchi za wenzetu! Kwa sakata la sukari ilipaswa mtu mmoja auwawe kwa kunyongwa hadharani
Wafanyabishara warudi maofisini kwao, wakubaliane na kodi, wao wapandishe bidhaa basi
Maisha yakiwa magumu sana kwa mlaji wa mwisho ataamua moja, ama aitafute haki yake ya kuishi na ama akae hivyo bila kula
Kinachosumbua sana ni watu wa huku chini basi, maana wao kugandamizwa haiwapi shida...
Mkuu upo sahihi tu wala hujakosea! Mimi nataka maisha hayo magumu yawapige sana walala hoi, wasipokula na hao wafanyabiashara wasipouza, ndio joto sasa la mgomo nchi nzima linafuata na heshima inakuja
Mkuu OKW BOBAN SUNZU kutoa maoni haijawahi kuwa ni kosa la jinai
Nadhani pia, bado hukuelewa mtazamo wangu umewahi kutoa wazo lako la mwisho kwa kuwa tu umeshachoshwa sana na sera za maccm
Mimi nataka sera hizo ziendelee kwa kasi ili wananchi wengi watakapochoka ndio tuone faida ya migomo
Gwajima namheshimu sana, ila kwenye hili, nadharau mawazo yake kutuona sisi Watanzania hatuna akili mbele ya wala rushwa na wasio na huruma yoyote dhidi ya maisha ya Watanzania
Kilichofanyika kwenye suala la Sukari ni uhaini haupaswi kufumbiwa macho na wanaotetea jambo hili nao ni wanufaikaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.