ukiwa na mwanamke mmjoa muda mrefu unalemaa yaani kuna vitu unahisi unavifanya sahih kumbe unazingua na wanawake type ya kizamani hawasemi tena anakuigizia unajiona kidume lakin ukibadilisha radha unayaona mapungufu na kuyafanyia kazi usiaibike tena
nani kati ya hawa waliopo leo ni mgeni? hawa hawa walikuweko katika awamu iliyopita tena walikuwa kwenye nafasi za juu, sasa magufuli hayupo akamatwe nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.