Recent content by notnoch

  1. N

    Huyo mkaka anayekutoa kila weekend ikiwa ameoa, hakupendi

    kwanza unatakiwa kujua wanaume wengi hawaoi wanaowapenda, kuoa unaoa anayekupenda na anayefaa sio unaempenda
  2. N

    Wanaume wanaoijua hii Baiolojia ya wanawake ni wachache sana

    si wengine hatujali afanye anvyojisikia kwanza akileta gubu ndo vizuri nyumba kurudi asubuhi, muda wa kuhangaishana ulishapita
  3. N

    Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

    ukiwa na mwanamke mmjoa muda mrefu unalemaa yaani kuna vitu unahisi unavifanya sahih kumbe unazingua na wanawake type ya kizamani hawasemi tena anakuigizia unajiona kidume lakin ukibadilisha radha unayaona mapungufu na kuyafanyia kazi usiaibike tena
  4. N

    CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

    nani kati ya hawa waliopo leo ni mgeni? hawa hawa walikuweko katika awamu iliyopita tena walikuwa kwenye nafasi za juu, sasa magufuli hayupo akamatwe nani?
  5. N

    Wanaume wengi hamna uwezo tena siku hizi, maneno matupu na kujisifu bure

    sasa achana na hao wenye six pack ebu tafuta na wenye vitambi hawa six pack zao zipi chini
  6. N

    Nimechapiwa mke wangu na mzoa taka

    safi sana! wanaume wote tungekuwa kama wewe ingekuwa powa sana
Back
Top Bottom