Isizidi km 6 kutokea wapi, nje ya mji?
kama hizo sehemu unazijua zilizopo nje mji unaweza sema ili kurahisisha chaguo lako!
Na pia ungetaja pia na ukubwa, kwa mfano maeneo kama mkuranga,mwasonga unaweza kupata kwa bei hiyo kiwanja chenye ukubwa wa hekari!
Kama unahitaji kiwanja mahali yeyote hapa Dar na Pwani? Tafadhaliwasiliana nami kwa Pm.
Unaweza taja specification zako pamoja na budget yako pia ili uweze kufanyiwa kazi yako kwa uraisi zaidi.
Hata kama una hela ndogo, usisite pengine unawezapata kwa bei hiyo uliyonayo!
Kiwanja kimepakana na barabara ya mtaa na pia kipo umbali usiozidi km moja kutoka Barabara kuu eandayo Geza.
Ipo sehemu tambarare huduma za kijamii kama maji si tatizo maeneo hayo na pia maji yao si ya chumvi.
Jipatie kiwanja mwasonga-Kigamboni kwa 3.5 millions kwa hekari moja.
Kiwanja hicho kipo karibu shule ya msingi kichangani mbele kidogo ya Nyumba za Nssf!
Kiwanja hicho kimepakana na kiwanja Oilcom(hii ni opportunity kwako kama una-invest)
KIwanja hicho pia kimepakana na barabara ya mtaa! kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.