Recent content by Notes

  1. Notes

    Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

    Hiyo si kauli yangu mimi ni kauli ya CAG! CAG anasema zinaweza kuwa za umma ukitazama kwa mtazamo wa kuwepo kwa kodi, lakini pia zinaweza kuwa za TANESCO au za IPTL.
  2. Notes

    Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

    Lakini mkuu huyo CAG aliyesoma hizo mambo za uhasibu mbona hakusema kuwa fedha za escrow ni mali ya umma, alichokisema ni kuwa sehemu ya fedha zinaweza kuwa za TANESCO au za IPTL. Hii conclusion waliyokuja nayo PAC wameitoa wapi wao?
  3. Notes

    Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

    Nakubaliana moja kwa moja na wasomi hawa. PAC haikutenda sahihi, CAG hakusema kuwa fedha ya escrow ni mali ya umma.
  4. Notes

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    Unajihadaa mwenyewe! kwani kipi kinashindikana. " Mkataba wa ufuaji umeme urejewe upya ili kuweza kuingiza commitment ya kampuni ya PAP kulingana na hukumu ya mahakama kuu ya Tanzania" inasomeka sehemu ya ripoti ya CAG. Hukumu ya Jaji Utamwa inaitaka kampuni kupanua uzalishaji na kupunguza bei...
  5. Notes

    Ngoma ya escrow kumbe ni standard chartered

    Siku zote hicho ndicho Kafulila anacho pigania, fedha za escrow walipwe SCB-HK. Ila kuna vilaza humu wasiojua kuunga Dots hawalioni, wala hawatokuja kuona hili.
  6. Notes

    Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

    Acha matusi, nani anatumika sasa, kwahiyo mtu akiwa na mtazamo tofauti na wako anatumika? Mkuu st. Kayumba kweli noma, nimepata shida sana kukuelewa :smile-big:. Sasa wewe inakuhusu nini kama kagawa mipesa kama njugu? Pesa za Rugemarila, kama kagawa sizakwake.
  7. Notes

    Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

    Na hazitokuja kuwa fedha za umma hata siku moja.
  8. Notes

    Wanakongwa: Ole wako Ndugai ukitumika katika hili la escrow

    Wezi wamehukumiwa na mahakama ipi? Ripoti ishasomwa bungeni mkuu? Ndio mapendekezo ya PAC hayo au? :smile-big: kumbe porojo tu. Chanzo cha hizo habari mkuu na mimi ni habarike.
  9. Notes

    Hii ndio hatari inayomkabili Pinda bungeni

    Hizi ni ndoto tu, Kummaliza mtoto wa mkulima! Kwa lipi? Yaani sababu IPTL wamelipwa fedha zao kipindi yeye akiwa PM? Hapana ndoto yenu haiwezi timia.
  10. Notes

    Hali yazidi kuwa tete escrow, hapatoshi Dodoma

    Tuesday, 18 November 2014 RIPOTI IPTL KULIGAWA BUNGE :- KAMATI YA ZITTO KABWE YATUHUMIWA KWA RUSHWA. WAKILI MSANDO NA MALIMA WALITUMIWA NA KAMATI KUOMBA RUSHWA. wakili Albert Msando kulia anayedaiwa kutumika kuchukua RUSHWA IPTL kwa niaba ya kamati ya PAC akiwa Zitto Kabwe ambaye ni...
  11. Notes

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    Hizi kelele zinafanya wawekezaji kama IPTL washinde kufanya kazi katika mazingira tulivu na yenye kuleta ufanisi, hawa jamaa wanamikakati mizuri ya kupunguza tatizo la umeme katika nchi yetu kwa kuanza na kubadirisha mitambo yao hadi kutumia gesi na kuongeza uzalishai kutoka Mw 100 mpaka Mw 500.
  12. Notes

    Sakata la IPTL na ESCROW: Kafulila aanza kuumbuka, sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya

    SAKATA LA IPTL: Zitto Kabwe hajaelewa kilichotokea KATIKA makala yake IPTL ni ufisadi, wahusika wawajibishwe, Zitto Kabwe , (Mbunge) amefanya uchambuzi wa mgogoro wa Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na kufanya hitimisho kwamba toka mwanzo mpaka mwisho ufisadi mkubwa ulikuwa unaendelea...
  13. Notes

    Uchambuzi: Kwa ushenzi huu uliofanywa na PAP ! Hii ni kampuni ya wakubwa!

    Wewe sikushangai ukijitoa ufahamu, najua unapushi ajenda za chama. Wote tunaijua Simba Trust, unataka kusema tena kuwa ni ya Miraji au?
  14. Notes

    Uchambuzi: Kwa ushenzi huu uliofanywa na PAP ! Hii ni kampuni ya wakubwa!

    SAKATA LA IPTL: Zitto Kabwe hajaelewa kilichotokea KATIKA makala yake IPTL ni ufisadi, wahusika wawajibishwe, Zitto Kabwe , (Mbunge) amefanya uchambuzi wa mgogoro wa Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na kufanya hitimisho kwamba toka mwanzo mpaka mwisho ufisadi mkubwa ulikuwa unaendelea...
Back
Top Bottom