Hawajachukua moja tu,kuna picha zipo utaona MTH-107,MTH-108 na MTH-520 ukijaribu kureserch flight kwa hizo registration hazipo sehem yoyote,kitu pekee utachopata ni chopa iliokua mwanza siku ya kampeni T7-TRXI.
feedback sio lazima iwe positive ata negative feedback ni feedback ndo inayosaidia kuboresha vitu,sio kama mtu ataichukulia kama constructive feedback its well and good otherwise ni shida yake.
now tunaelewana mm my point sio hiyo kwenye kureport kwenye vyombo vya usalama au popote,mm i was suggesting watengeneza app wampe mtumiaji uwezo wa kulogout all active devices bila process nyingi kama unavoweza kufanya hata kwa whatsapp,maana wezi wengine wanaweza tu kuwa wanafanya kujaribu...
Mimi nakubaliana na wewe na umeeleza vizuri kuwa mtu still atakua na access ya app sasa imagine mtu akawa anajaribu kulogin kwenye app kwa password ambayo tayari umeshaibadilisha ni nin kitatokea kwenye account yako?
What if muhusika akaendelea kua na account yako akawa anaendelea kuattempt kulogin kwa password ya zawani,one of the security measure ni account kufungiwa ,now ntafanyaje ili huyo user mwingine aweze kutoka kwenye hiyo account?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.